QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili- Barwani

صفحة 1

صِرَٰطَ ٱلَّذِينَ أَنۡعَمۡتَ عَلَيۡهِمۡ غَيۡرِ ٱلۡمَغۡضُوبِ عَلَيۡهِمۡ وَلَا ٱلضَّآلِّينَ ٧

7. Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.[7]