QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili- Abdullah & Nassir

Add Enterpreta Add Translation

صفحة 572

وَأَنَّهُمۡ ظَنُّواْ كَمَا ظَنَنتُمۡ أَن لَّن يَبۡعَثَ ٱللَّهُ أَحَدٗا ٧

7- «Na kwamba makafiri wa kibinadamu walidhania kama mlivyodhania, enyi majini, kuwa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka hatamfufua yoyote baada ya kufa.