1. KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU .[1]
1. KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU .[1]
2. Sifa njema zote ni za Mwenyeezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote;[2]
3. Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;[3]
4. Mwenye kumiliki siku ya malipo.[4]
5. Wewe tu tunakuabudu, na wewe tu tunakuomba msaada.[5]
6. Tuongoe njia iliyonyooka.[6]
7. Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.[7]